Asante wasomaji wa mtandao wetu, huku mkitaka kufahamu zaidi msimu wa Tangawizi katika kata yetu ya Lumbiji. Tangawizi ni zao lilnalopatikana sana hapa Lumbiji hasa katika kipindi cha mwezi wa NANE hadi wa KUMI na Mwanzoni mwa Mwezi wa KUMI na MOJA. Na bei ya zao hili hutofautiana kila msimu mpya. Kufahamu Bei yake kwa msimu husika usisite kuwasiliana nasi kupitia mawasiliano yetu yaliowekwa hapa mtandaoni.
0 comments:
Post a Comment