Tuesday, 10 November 2015

Maombi ya Baadhi ya Wasomaji Wetu kuhusu kufahamu Msimu wa Tangawizi



 
Asante wasomaji wa mtandao wetu, huku mkitaka kufahamu zaidi msimu wa Tangawizi katika kata yetu ya Lumbiji. Tangawizi ni zao lilnalopatikana sana hapa Lumbiji hasa katika kipindi cha mwezi wa NANE hadi wa KUMI na Mwanzoni mwa Mwezi wa KUMI na MOJA. Na bei ya zao hili hutofautiana kila msimu mpya. Kufahamu Bei yake kwa msimu husika usisite kuwasiliana nasi kupitia mawasiliano yetu yaliowekwa hapa mtandaoni.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Popular Posts

Copyright © LUMBIJI KWETU | Powered by Blogger Design by Yuvinusm